Anayewafadhili Interahamwe atakiona cha mtema kuni- Gen (Rtd) Fred Ibingira
Jenerali (mstaafu) Fred Ibingira ameikumbusha serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwamba imeipa hifadhi na kuifadhili kundi la kigaidi la FDLR, lililoanzishwa na baadhi ya wahusika wa mauaji ya kimbari dhidi ya...


