Waandishi wa habari waliouawa wakati wa Mauaji ya Kimbari dhidi ya Watutsi mwaka 1994 wamekumbukwa.
Waziri wa Umoja wa Kitaifa na Uraia, Dkt. Bizimana Jean Damascène, amesema kuwa vyombo vya habari vilichangia kwa kiasi kikubwa kuwahamasisha Wahutu kuwaua Watutsi na kueneza chuki iliyosababisha Mauaji ya Kimbari dhidi...


