Richard Hategekimana amesema kuwa mafanikio ya Rwanda na mafanikio ya Jeshi la Rwanda yanapaswa kujulikana kwa wote
Hategekimana ambaye ni mwandishi wa vitabu na Mkurugenzi Mkuu wa Chama cha Waandishi nchini Rwanda, amezindua kitabu kinachozungumzia upekee wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF)


