Refa Nsengiyumva Jean Pau amefungiwa Mwaka mmoja bila kuchezesha Mechi
Mwamuzi Nsengiyumva Jean Paul baada ya kuonekana na tabia isiyofaa ya kumpiga teke mchezaji wa Mukura Victory Sports katika mechi iliyowakutanisha na Rutsiro FC., Shirikisho la Soka Rwanda (FERWAFA) limemfungia kipindi cha...


