Nitafanya kazi kuhakikisha kuwa Jukwaa linaendelea kuwa nafasi bora ya mazungumzo- Dkt Frank Habineza
Dkt Frank Habineza ambae ni Seneta amesema kuwa atafanya kazi kuhakikisha kuwa Jukwaa linaendelea kuwa nafasi bora ya mazungumzo, ni baada ya kuchaguriwa kuwa Msemaji wa Jukwaa la Mashauriano ya Vyama vya Siasa Nchini Rwanda.


